Tuesday, October 13, 2015

TAARIFA RASMI KUHUSU BALOZI JUMA MWAPACHU KUHAMA CCM

Habari zilianza kusambaa kwenye Mitandao ya Kijamii ikimhusisha mmoja ya Wanachama wa CCM, Balozi Juma Mwapachu kuhama CCM.
Taarifa iliyoripotiwa na Gazeti la Mwananchi imethibitisha Balozi Juma Mwapachukutangaza kujitoa CCM >>> “MWAPACHU ATOKA CCM: Kada wa CCM Balozi Juma Mwapachu leo ametangaza kujivua uanachama wa chama hicho, adai chama kimepoteza dira, hajaamua kujiunga chama kingine“>>> Hiyo ni nukuu ya stori iliyoripotiwa na gazeti la Mwananchi.
Mwapachureeunnamed II

Tags:
Unknown About Unknown

Hii ni blog kwaajili ya kukupa habari za kila aina ulimwenguni ili usiweze kupitwa na jambo habari mpya,michezo,burudani,sanaa,nyimbo mpya,video@Nuru fm Newsroom/production
View all posts by admin →

Get Updates

Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.

Share This Post

0 comments:

Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Nuru fm Iringa Enhanced by Joseph Martin

© 2015 NURU FM. NURU FM JOSEPH Y. converted by NURU FM NEWSROOM
Powered by Blogger.