Wednesday, October 14, 2015

ALIYEKUWA MGOMBEA UBUNGE ACT WAZALENDO,MALLAH AAGWA....!


unnamed V
Jimbo la Arusha Mjini limekuwa Jimbo la tatu kuahirisha Uchaguzi wa Wabunge baada ya baadhi ya Wagombea na nafasi hiyo kufariki muda mfupi kabla ya Uchaguzi Mkuu 2015.
Kwa Jimbo hilo, Mgombea mmoja aliyekuwa akipeperusha Bendera ya ACT-WazalendoEstomih MALLAH alifariki Dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi na kukimbizwa Hospitali.
Marehemu Estomih tayari ameagwa na kufanyiwa ibada katika Kanisa la KKKT Ngulelo, leo October 14 2015 Marehemu anasindikizwa na ndugu, jamaa pamoja na watu wengine kwenda Kijijini kwao eneo la Sango Mkoa wa Kilimanjaro ambako yatafanyika mazishi.
unnamed II

unnamed
unnamed IV
unnamed V
Apumzike kwa amani Marehemu Mzee ESTOMIH MALLAH… #RIP

Tags:
Unknown About Unknown

Hii ni blog kwaajili ya kukupa habari za kila aina ulimwenguni ili usiweze kupitwa na jambo habari mpya,michezo,burudani,sanaa,nyimbo mpya,video@Nuru fm Newsroom/production
View all posts by admin →

Get Updates

Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.

Share This Post

0 comments:

Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Nuru fm Iringa Enhanced by Joseph Martin

© 2015 NURU FM. NURU FM JOSEPH Y. converted by NURU FM NEWSROOM
Powered by Blogger.