Tuesday, October 13, 2015

PANYA NI MSAADA KWENYE UTAFITI WA MABOMU NA UGONJWA WA TB

Kwa kawaida panya akionekana machoni pa mwanadamu anauawa ama hata kutegwa na kupewa sumu lakini sio hawa panya wa Sokoine.

Wakaazi wa mkoa wa Morogoro wanafahamu faida ya panya.
Lakini sio hao panya wa mwituni la !
Watafiti katika chuo kikuu cha Sokoine wanafanya utafiti unaohusu panya wa kipekee katika mradi wa Apopo.
Panya hao maalum wanatumika kwa shughuli ya kuchunguza mabomu yaliyofichwa ardhini mbali na ugonjwa wa kifua kikuu TB.

Tags:
Unknown About Unknown

Hii ni blog kwaajili ya kukupa habari za kila aina ulimwenguni ili usiweze kupitwa na jambo habari mpya,michezo,burudani,sanaa,nyimbo mpya,video@Nuru fm Newsroom/production
View all posts by admin →

Get Updates

Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.

Share This Post

0 comments:

Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Nuru fm Iringa Enhanced by Joseph Martin

© 2015 NURU FM. NURU FM JOSEPH Y. converted by NURU FM NEWSROOM
Powered by Blogger.